LIBRISTO
LIBROAMANTO
obvezno
Pridružite se zajednici ljubitelja knjige iz cijelog svijeta i ostvarite mnoštvo pogodnosti. Izradite besplatni račun
0
Besplatna dostava Overseas kurirskom službom iznad 69.99 €
DPD kurir 3.99 DPD točka 3.49 GLS Kurir 4.99 GLS paketomat 3.99 Hrvatska pošta 4.99 Dostava Overseas 4.99 Box Now 4.49

Besplatna dostava putem Box Now paketomata i Overseas kurirske službe iznad 69,99 €.

Mafundisho ya Utajiri

Jezik SvahilskiSvahilski
Knjiga Meki uvez
Knjiga Mafundisho ya Utajiri Shannel S Silwimba
Libristo kod: 43163228
Nakladnici Shannel Steven Silwimba, ožujak 2023
Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndan... Cijeli opis
? points 45 b
18.44
Vanjske zalihe Šaljemo za 14-21 dana

Do 30 dana za povrat


Kupci su kupili i


Technology Forces at Work in Mining D.J. Peterson / Knjiga Meki uvez
common.buy 33.65
Reconstruction de Forces d'Impact Abdellatif Khamlichi / Knjiga Meki uvez
common.buy 77.45
Saisonal & Regional Alessandra Willingsdorfer / Knjiga Tvrdi uvez
common.buy 22.80
Your Worry Makes Sense Dr Martin Brunet / Knjiga Meki uvez
common.buy 22.40
Famous Blake Crouch / Knjiga Tvrdi uvez
common.buy 20.77
Pripremamo
Reise Know-How CityTrip Straßburg Norbert Wank / Knjiga Meki uvez
common.buy 14.49

Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndani ya kanisa lote linalo zungumza Kiswahili. Katika hiki tunaona mtizamo mpya wa theolojia, changamoto katika tafsiri za biblia ndani ya lugha ya Kiswahili, na jipya zaidi ni uhamisho wa waumini toka udini kuelekea mahusiano na Mungu YHWH.

Kitabu kinachukulia biblia yote kuwa fumbo la picha, na hivyo kutumia mstari wa wakati uendao mbele katika mduara, kuonyesha mwanzo hadi mwisho wa kila kitu. Na kama hili halitoshi, kinaweka dai tatanishi kwamba, biblia yote iliandikwa kwa ajili ya ukombozi wa Adonai Yeshua Kristo, na kwamba yote humo pamoja na maisha yako yote, ni kwa ajili ya Mungu YHWH kuwa na familia yake tu.

Kitabu kinacho dai tete la kuifunua kweli iliyo moja na ya pekee mahali pote, wakati wote, na kwa vizazi vyote. Na katika kunogesha uelewa; kinapinga mafundisho yaliyo zoeleka kwamba, mtu ataishi Mbinguni na Mungu milele, kwa kudai maandiko yote yanasema, ni Mungu YHWH anaye hamia katika Dunia mpya ndani ya Yerushalem Mpya kuishi humo milele na watoto wake watakatifu.

Kitabu kinajikita katika malumbano ya kidini na sayansi, na kuitumia teknolojia ya sasa kuelezea dhana nyingi za kiimani. Na kwa kila funzo la kinadharia unalo pewa, pia huonyeshwa jinsi ya kutenda hilo uhesabiwe mstahiki wa ahadi hiyo ya Mungu. Na katika ujasiri mkuu kinaweka dai ya kuwa, hicho ni ujumbe halisi wa Mungu YHWH kwa kanisa lake tukufu linalo zungumza Kiswahili.

Ni kitabu ambacho kila anayefunza dini hawezi kukikosa, na kwa kila mtu anaye taka kujua kweli ya mambo ya kiungu, hiki ni kitabu muhimu zaidi sokoni kwa sasa. Tunakiona kutawala malumbano katika kumbi za mihadhara, mimbari za masinagogi, na hata madarasani kufunzwapo dini. Ni kitabu ambacho kitafungua jicho la kila muumini, kwani katika lugha ya Kiswahili hakipo kinacho zama katika kina chake hiki. Kwa kweli uhamsho wa kanisa linalo zungumza Kiswahili sasa umefika wakati wake!

Glumica & Poliglotkinja
EWA KASP za
Pusti video
Ewa Kasp
Libristo ima najveći izbor literature na stranim jezicima. Zato svoje knjige kupujem ovdje.

Informacije o knjizi

Puni naziv Mafundisho ya Utajiri
Jezik Svahilski
Uvez Knjiga - Meki uvez
Datum izdanja 2023
Broj stranica 194
EAN 9798215870099
Libristo kod 43163228
Težina 252
Dimenzije 140 x 216 x 11
Poklonite ovu knjigu još danas
To je jednostavno
1 Dodajte knjigu u košaricu i odaberite isporuku kao poklon 2 Zauzvrat ćemo vam poslati kupon 3 Knjiga dolazi na adresu poklonoprimca

Prijava

Prijavite se na svoj račun. Još nemate Libristo račun? Otvorite ga odmah!

 
obvezno
obvezno

Nemate račun? Ostvarite pogodnosti uz Libristo račun!

Sve ćete imati pod kontrolom uz Libristo račun.

Otvoriti Libristo račun